» » Epl-West Ham United kuivaa Tottenham

West Ham United kuivaa TottenhamHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionWest Ham United kuivaa Tottenham
Ligi kuu ya soka ya England inatarajia kuendelea tena leo ijumaa kwa mchezo mmoja ambapo West Ham United wanawakaribisha Tottenham Hotspur.
West Ham United mpaka sasa wapo katika nafasi ya 15 katika msimamo ligi kwa alama 39, hivyo watahitaji kushinda mchezo huo ili kujikwamua kutuka nafasi hiyo kwenda nafasi ya tisa ,lakini pia Tottenham ingali wapo ugenini bila shaka watahitaji kushinda mchezo na kuwasogele kwa ukaribu vinara Chelsea.
Na kesho Jumamosi Manchester city watakuwa ni wenyeji wa Crystal Palace, Bournmouth watachuana na Stoke City,Burnley ni wenyeji wa West Brom,Hully city wanacheza na Sunderland, Leicester city watachuana na Watford na Swansea city watapepetana na Everton.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS



tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...