» » Rais wa Ufaransa awapatia uraia wa taifa hilo Waafrika 28

Rais wa Ufaransa awapatia uraia wa taifa hilo Waafrika 28

Rais wa Ufaransa Francois Hollande
Image captionRais wa Ufaransa Francois Hollande
Rais wa Ufaransa Francois Hollande amewapatia uraia wa Ufaransa Waafrika 28 walioipigania Ufaransa wakati wa vita vya pili vya dunia pamoja na mizozo mengine.
Wakongwe hao wa vita walio na umri kati ya sabini na nane na tisini wanahudhudhiria hafla katika ikulu ya Elysee.
Ijapokuwa wanajeshi wengi wa Afrika walirudishwa nyumbani, takriban wapiganji 1000 wa zamani wanaishi nchini humo .
Naibu Meya wa mji wa Paris ambaye ni mjukuu wa raia wa Senegal aliyepigana katika vita vya pili vya dunia amekuwa akifanya kampeni ya wakongwe hao kupewa haki zaidi.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles