Ninakosa maisha yangu ya zamani:
REUTERS
Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akizungumza kuhusu maisha ya awali kabla ya kuwa rais na kueleza jinsi wajibu wake huo mpya katika Ikulu ya White House ni ngumu.
Trump alisema aliyapenda maisha yake ya zamani kwa sababu ni mengi yalikuwa yakifanyika, alipozungumza na shirika la habari la Reuters akiwa White House.
"Hii ni kazi nyingi zaidi kuliko ya maisha yangu ya awali, alisema. "Nilifikiri itakuwa rahisi."
- Familia ya Donald Trump: Wake na watoto
- Wasifu wa Trump, rais wa Marekani
- Trump: Kashfa ya udhalilishaji ni njama
Matamshi yake Trump ya kuwa rais yamejadiliwa katika mitandao ya kijamii, wengi wakielezea mshangao wao.
"Ninakosa maisha yangu ya awali," alisema Trump.
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:
Post a Comment