» » Mshauri mkuu wa kiongozi wa Taleban auawa na Marekani

Mshauri mkuu wa kiongozi wa Taleban auawa na Marekani

Kiongozi wa kundi la Taleban Abu Bakr al -Bhagdad
Image captionKiongozi wa kundi la Taleban Abu Bakr al -Bhagdad
Makao makuu ya jeshi ya Marekani, Pentagon, yamemlenga na kumwua mshauri mkuu wa kiongozi wa Taliban, Abu Bakr al -Bhagdadi katika shambulio lililofanywa nchini Syria.
Msemaji wa Pentagon, kanali John Thomas, alisema kuwa Abdul Rahman al-Uzbek, aliuawa Aprili 6 lakini hakutoa taarifa zaidi.
Alisema kuwa Al-Uzbeki alishiriki katika kupanga mashambulizi kwenye kilabu kimoja usiku wa kuamkia mwaka mpya mjini Istanbul ambako watu 30 walifariki.
Mwandishi wa BBC alisema kuwa ingawa kuna wanajeshi zaidi ya 500 wa Marekani kutoka kikosi maalumu nchini Syria kwa kawaida hawashiriki katika oparesheni moja kwa moja.
Alisema wao hutumia muda mwingi kutoa ushauri kwa makundi asilia ya maeneo hayo jinsi ya kukabiliana na wapiganaji wa Islamic State.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles