» » Mgomo kutishia biashara ya mafuta Nigeria

Mgomo kutishia biashara ya mafuta Nigeria


Muhammadu Buhari alikuwa Kiongozi mwenye dhamana na sekta ya mafutaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionMuhammadu Buhari alikuwa Kiongozi mwenye dhamana na sekta ya mafuta
Madereva wa Malori yanayobeba mafuta nchini Nigeria wanatarajiwa kuwa na mgomo siku ya Jumatatu.
Chama cha wafanyakazi wa Petroli na Gesi asili nchini humo kimesema watagoma kupinga mishahara midogo na barabara mbovu ambazo zinaharibu magari yao.
Msemaji wa chama cha wafanyakazi, Cogent Ojobo, ameonya kutokea kwa upungufu wa Petroli, Dizeli na mafuta ya taa nchi nzima wakati huu ambapo usambazaji utasitishwa.
Ojobo amesema hakuna tarehe ya mwisho wa mgomo iliyoelezwa

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sn.news&hl=en



tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles