» » Maombolezo shambulizi la Taliban ambapo zaidi ya wanajeshi 100 waliuawa


Maombolezo shambulizi la Taliban ambapo zaidi ya wanajeshi 100 waliuawa

Serikali ya Afghanistan inapambana na TalibanHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionSerikali ya Afghanistan inapambana na Taliban
Afghanistan inaomboleza kitaifa baada ya mauaji yaliyofanywa na Taliban Ijumaa, katika kambi ya jeshi, karibu na mji wa Mazar-i-Sharif, kaskazini mwa nchi.
Wakuu wanasema wanajeshi kama 140 waliuawa wakati wapiganaji walipovamia kambi hiyo, huku wakifyatua risasi wakati wanajeshi wanatoka msikitini na wale waliokuwa mkahawani.
Rais Ghani aliwatembelea walle waliojeruhiwaHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionRais Ghani aliwatembelea walle waliojeruhiwa
Msemaji wa Taliban alielezea shambulio hilo kuwa la kulipiza kisasi, kwa viongozi wao waliouwawa hivi karibuni.
Maafisa wanasema kuwa kuwa idadi ya wanajeshi waliouawa huenda ikafikia 140
Maafisa wanasema kuwa kuwa idadi ya wanajeshi waliouawa huenda ikafikia 140Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMaafisa wanasema kuwa kuwa idadi ya wanajeshi waliouawa huenda ikafikia 140

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles