» » Ushauri Kwa Vijana


 Inasemekana vijana wengi hawaoi kwa sababu ya kuwaahidi wadada wengi kuwa atawaoa nap wanajenga imani kubwa kwake na kumuonyesha mapenzi Mubashara kila mmoja kulingana na uelewa wake mwisho akitaka kuoa anabaki njia panda amuoe Nani na amuache Nani mwisho Ana amuwa kusubiri Kwanza, na wale wadada kutokana na ahadi zake kwao nao wanasubiri mwisho akichoka kusubiri anaona hawana mpango wa kwenda kwingine anaoa mbali mwisho wadada Wana Baki midomo wazi wengine machungu na kuumia .

Ushauri >> Kijana Kama huna mpango na huyo Dada mwambie ukweli ili aruhusu wengine
Dada >> ukiona huyo jamaa Ana ahadi isiyo julikana nilini atakuoa jiongeze

Utafiti na Gasto Alex  wa Apps ya *4sn news* kwa Android download Sasa

/ habari what-sap 0769436440






BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sn.news&hl=en





tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles