» » UN yaitaja Israel kama nchi ya kibaguzi

UN yaitaja Israel kama nchi ya kibaguzi

Image captionWaziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu

Umoja wa mataifa umetoa ripoti inayoituhumu Israel kuwa ni nchi ya kibaguzi, madai ambayo nchi hiyo pamoja na washirika wake wameyakana kwa nguvu.

Ripoti hiyo inasema kuwa Israel imeanzisha mfumo unaowatenga raia wa kutoka Palestina.

Imetolewa na kamisheni ya uchumi na masuala ya kijamii kwa nchi za Magharibi mwa bara la Asia ambapo mkuu wake Rima Khalaf amesema kuwa hii ni kwa mara ya kwanza UN kukiri kuwa Israel ni nchi ya kibaguzi.

Lakini umoja wa mataifa umesema kuwa ripoti hiyo inawakilisha tu mawazo ya waandishi walioiandika ambao ni kutoka Marekani.

Israel katika taarifa yake imesema ni nchi yenye demokrasi zaidi katika nchi za Mashariki ya kati.

Mshirikishe mwenzako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles