» » PICHA KALI ZA MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA MARCH 12,2017

MWENYEKITI WA CCM TAIFA NA RAIS WA JAMHURI WA TANZANIA, DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AHUTUBIA WAJUMBE WAPATAO 2356,AMBAPO WALIPASWA KUWA WAJUMBE 2380 WA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM MJINI DODOMA MARCH 12,2017

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dk. Joseph Magufuli akiwahutubia wajumbe wapatao 2356,ambapo walipaswa kuwa wajumbe 2380 mkutano Mkuu Maalum wa CCM ambao ulikuwa una lengo kuu la kufanya baadhi ya mabadiliko ndani ya Katiba,ambayo yamepitishwa kwa asilimia 100 na wajumbe hao waliohuhudria mkutano huo.


Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM wakiburudika kwa shangwe na vifijo kutoka kikundi cha TOT Plus kabla ya kuanza mkutano huo ndani ya Ukumbi wa Kikwete mjini Dodoma
Sehemu ya baadhi ya wajumbe wa mkutano Mkuu Maalum wa CCM wakiwa tayari ukumbini wakisubiri kuanza kwa mkutano huo.
Malkia wa mipasho Afrika Mashariki Khadija Kopa akitunbuiza pamoja na bendi ya TOT






Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na viongozi mbalimbali 











                                         P I C H A  NA  I K U L U
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440






BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sn.news&hl=en





tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles