» » Marekani kuanzisha uchunguzi kwa mashambulizi ya Mosul,Iraq

Marekani kuanzisha uchunguzi kwa mashambulizi ya Mosul,Iraq

Image captionMapigano yanayoendelea Mosul yamesababisha mamia ya watu kufariki ukiachilia mbali kupoteza makazi yao

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema kuwa inaanzisha uchunguzi juu ya tuhuma za ndege za nchi hiyo kushambulia wananchi wasiokuwa na hatia katika mji wa Mosul nchini Iraq mapema mwezi huu.

Katika kulishughulikia jambo hilo, zaidi ya mikanda ya video mia saba itachunguzwa.

Msemaji wa jeshi la Marekani kanali J T Thomas amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lilifanya mashambulizi karibu na eneo hilo lakini hawakulifikia.

Ameongeza kuwa hakuna mabadiliko katika kupambana na vikosi vya IS na hawatarudi nyuma.

Mshirikishe mwenzako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...