» » Korea kaskazini yarusha makombora Japan

Korea kaskazini yarusha makombora Japan

Korea
Image captionMakombora ya kihistoria kutoka kusini na kaskazini mwa korea
Jeshi la Korea kusini limesema Korea kaskazini imerusha makombora yake kadhaa katika bahari ya Japan, Jeshi la Korea kusini limesema kuwa makombora hayo yamerushwa kutoka kwenye eneo la Tongchang-ri lililo kwenye mpaka kati ya Korea kaskazini na China na kurushwa kwa umbali takriban kilomita elfu moja.
makombora
Image captionMaeneo ambayo makombora yalirushwa
Akiongea na waandishi wa habari, waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe amesema makombora hayo yanadhihirisha ushaidi tosha wa vitisho vipya kutoka kwa Korea kaskazini
''Korea kaskazini imefyatua makombora yake manne leo na kuangukia karibu na eneo letu la maji lenye manufaa kwetu kiuchumi.Japan itakusanya taarifa na kuzichambua kuhusu tukio hili.Japan inaipinga vikali Korea kaskazini.makombora yaliyorushwa wakati huu inaonyesha wazi kuwa Korea kaskazini ni tishio jipya.Korea kaskazini ilishatangaza aina hii mpya ya makombora kabla ya kuyarusha leo hivyo, tutafuatilia kwa karibu suala hili kwa kwa umakini mkubwa''
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440






BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sn.news&hl=en





tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles