kwanza natumia frusa hii kuwaelekeza wale waiojuwa kanisa la mabatini Mwanza liko sehemu gani
maana jana watu kama sita wamehangaika kulipata baada ya kushukia standi ya daradara mabatini
kwa watu wanaotokea sehem za airport panda gari za igoma kishili shukia mlongo mmoja sio mabatini ukishuka vuka barabara mbele yako utaona ngome ya makaburi ya waislam mwisho wa ngome kushoto ndio mwanzo wangome ya kanisa letu
kwa watu wanao tokea Buhongwa nyegezi stand panda gari za igoma kishili shukia mlango mmoja
kwa wanaotokea barabara ya Msoma buzuruga igoma kisesa nk pia na wanapanda gari za kuja mjini gari yoyote utashukia mlango mmjo na hapo utakuwa umefika mabatini
Hivi ndivyo muonekano wa bango kubwa inje ya kanisa
hii niheshima ya kuwapokea nakuwakaribisha wageni wetu iliyo letwa na vijana wa PFC Mabatini Mwanza
wakati wa ukaguzi wa gwaride la vijana hawa wadogo ila wakaka mavu kweli kweli
heshima kwa mgeni lasimi
vijana wa Kirumba s.d.a mwanza nakuasa na kuku kumbusha usikose kutazama morning star Tv au star Tv na Barmedas Tv mda ni saa 12:30 jion hadi saa 2:00 usiku wote mnakaribishwa
pia morning star fm
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment