LEO KATIKA SOMO LA NDOA
Machungu ya mke zaidi ya mmoja na mme zaidi ya mmoja
Mwanzo 30:14-16
Jinsi unavyo kuwa unatumika kwanguvu kujilazimisha kuwapenda wote wawili.
Amesisitiza jinsi ambavyo huwezi kuwa na upendo kwa mke zaidi ya mmoja
Akaongeza jinsi ambavyo wake zako wanakukodisha kwa vitu vidogo vidogo
Na unajitahidi uwalidhishe isiwezekane
Fungu la Kututia moyo Zaburi 149:7 na147:3
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment