» » UEFA: Manchester City yaibamiza Monaco 5-3

UEFA: Manchester City yaibamiza Monaco 5-3



Leroy Sane akipachika goli la nne dhidi ya Monaco
Image captionLeroy Sane akipachika goli la nne dhidi ya Monaco

Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya mechi iliyochezwa usiku wa kuamkia leo Jumatano ni Manchester City imeibuka mshindi kwa mabao 5 kwa 3 dhidi ya Monaco.
Mechi nyingine Bayer Leverkusen ilitandikwa 4-2 na Atletico de Madrid.
Michuano hiyo ya Ulaya itaendelea tena leo kwa michezo mingine miwili ya Europa Ligi kupigwa.
FC Seville watakua nyumbani kuwaalika mabingwa wa ligi kuu England wenye mwendo wa kusuasua Leicester City.
Wareno wa FC Porto watawakaribisha vibibi vizee vya Torino, Juventus.
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles