» » Polisi watibua shambulizi la kigaidi Ufaransa

Polisi watibua shambulizi la kigaidi Ufaransa


Polisi wa kupambana na ugaidi walivamia nyumba eneo la MontpellierHaki miliki ya pichaAFP
Image captionPolisi wa kupambana na ugaidi walivamia nyumba eneo la Montpellier
Njama ya kufanya shambulizi nchini Ufaransa umetibuliwa huku washukiwa wanne wakikamatwa eneo la Montpellier, kwa mujibu wa waziri wa mambo ya ndani Bruno Le Roux.
Wanaume watatu na msichanawa umri wa miaka 16 walipatikana na bidhaa za kutengeneza bomu na kikosi cha kupambana na ugaidi, wakati wa uvamizi kweye nyumba moja kusini mwa mji.
Vilipuzi vya kutengezewa nyumbani sawa na vile vilivyotumiwa wakati wa shambuliki la mji wa Paris Novemba 15 vilipatikana.
Ripoti zinasema kuwa msichanna alikuwa ameandika ujumbe wa itikadi kali mtandaoni.
Tangu mwanzo wa mwaka 2015, takriban watu 230 wameuawa kwenye mashambulizi nchini Ufaransa.
Image captionUfaransa
Wiki iliyopita mwanajeshi mmoja alipata majeraha madogo, wakati mwanamme moja aliyekuwa na panga alipojaribu kuingia makavazi ya mjini Paris.
Mwanamume huyo raia wa Misri mwenye umri wa miaka 29 Abdullah Hamamy, alipigwa risasi na kujeruhiwa vibaya
Ripoti za awali zilisema kuwa mmoja wa washukiwa wa Montpellie, huenda akawa mshambuliaji wa kujitoa mhanga.
Shirika moja la habari la Ufaransa lilisema kuwa watu hao wanne, walikuwa wakipinga kushambulia eneo wanakotembea watalii mjini Paris, lakini taarifa za polisi zililiambia shirika la habari la Reuters kuwa uchunguzi haujabaini hasa ni wapi walikuwa wamelenga kushambulia.
Image captionPolisi walivamia nyumba moja ambapo walipata vifaa vya kutengeneza mabomu
Kuwa wakwanza kupata kilicho bora kutoka 4sn news tuma namba yako whatsapp 0769436440 share Read More




Mkurugenzi +255769436440

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...