» » Wachimbaji mgodi 15 waokolewa Tanzania

Wachimbaji mgodi 15 waokolewa Tanzania

Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Image captionWafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Wachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.
Jumla ya wachimbaji 15 wa mgodi walikuwa ndani ya mgodi huo akiwemo raia mmoja wa China wakati uliporomoka.
Juhudi za kuwaokoa wachimbaji hao zimekuwa zikifanyika tangu wafukiwe usiku wa kuamkia Januari 26..
Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Image captionWafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Image captionWafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Image captionWafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana Read More

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles