» » Mapigano yarejea upya Sudan Kusini

Mapigano yarejea upya Sudan Kusini


Vita vyarejea upya nchini Sudan Kusini kati ya vikosi vya serikali na waasi walio watiifu kwa Riek Machar
Image captionVita vyarejea upya nchini Sudan Kusini kati ya vikosi vya serikali na waasi walio watiifu kwa Riek Machar
Mapigano yamerejea nchini Sudan Kusini kati ya serikali na waasi walio watiifu kwa aliyekuwa makamu wa rais nchini humo Riek Machar.
Ripoti kutoka kwa jimbo lenye utajiri wa mafuta la Upper Nile zinasema kumekuwa na mapigano makali ndani na nje ya mji wa Malakal ,ambapo wanajeshi wa Umoja wa Mataifa wanawahifadhi watu walioachwa bila makao.
Msemaji wa jeshi amesema kuwa idadi ya watu waliojeruhiwa haijulikani kwa kuwa vita hivyo vinaendelea.
Umoja wa Mataifa umezitaka pande hasimu kusitisha uadui na kutekeleza makubaliano ya amani ya mwaka 2015.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana Read More

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...