» » Selfie ya Diamond akiwa na BOXER Yazua Balaa Mitandaoni

Selfie ya Diamond akiwa na BOXER Yazua Balaa Mitandaoni

Diamond Platnumz amezua balaa mtandaoni baada ya Jumanne hii kupost selfie akiwa amevalia kiboxer cheusi.

Kwenye picha hiyo, Diamond aliandika: Straight from the Changing room!…I think i need to go back to the gym so that i can be more flexible on m 24th Pre-XMass Parformance in Dar Es Salaam.

Licha ya kufunika kwa emoji kwenye eneo la sehemu zake za siri, selfie hiyo imesababisha hisia tofauti huku wengi wakimponda staa huyo kwa kukosa staha.

Hizi ni baadhi ya comments:

isaac_siame: @diamondplatnumz sitaki kuamini kama mawaziri kama nape au makamba watatamani kuja tena wcb kuonana namsanii wa namna hii, hii itakucost au imekucost tayari @babutale busara zako azijatumika kushauri hii naanza kuona misingi ya heshima ulioitunza kwa mda mrefu ikipotea

tausizehemasaleh: You ‘ve a beautiful soul but I think sometimes you go over board,remember to much is given .much is expected,I respect the path Mom Tee is taking,don’t neglect her advices,you may need them sometimes,Big love small bro

yahyakiwera8646: Nduguyangu nakuusia usidanganyike nahizi like nacomment kumbuka weweni muislamu nautazikwa kiislamu kuogope mungu kwanza niharamuvhizo tatoo ukiswali swalazako haziswihii ukiogajanaba halitoki nduguyangu unapotea HAWA wanao like wote kaburini hatakuwepo utakua pekeyako namatendoyako iwemazuri au mabaya je utaponaa? Ilahuu WANGU niukumbushotu kwako nikutakie mabadiliko usijekusema hukuambiwa buree miminisha kuambia

swaum1140: Mmmm jaman mm hapo hapan nasibu sio nzuri hyo pic kwa kweli kumbuka wew ni baba now sio pich nzur kumbuka IPO cku tifa ataiona alaf itakua aibu kubwa uxifany hvy bhana hapo mm sijapenda kabisaaa

ommie_latino26: Bro huo ni ujinga una familia sasa ina maana hapo tiffah aje aone dudu ya baba au

Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana Read More

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...