» » Merkel alaani vikwazo vya Trump


Merkel alaani vikwazo vya Trump


Angela MerkelHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionAngela Merkel
Kiongozi wa Ujerumani, Angela Merkel, amelaani vikwazo vilivyowekwa na Rais wa Marekani Donald Trump kukataza kupokea wasafiri kutoka nchi zenye wa Islamu wengi.
Msemaji wa Bibi Merkel, Steffen Seibert, alieleza kuwa Bibi Merkel, haamini kuwa vita dhidi ya ugaidi, vinastahiki kuwatilia shaka kwa jumla, watu wa asili au dini fulani.
Meya wa London, Sadiq Khan ambaye ni Muislamu alielezea amri hiyo ya marufuku kuwa ya aibu na ya kikatili.
Alisema sera hiyo mpya, inakwenda kinyume na maadili ya uhuru na uvumilivu, ambayo ndiyo misingi iliyojenga taifa la Marekani.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana Read More

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...