» » Video: Kitanda cha Wolper chapambwa madola kumkaribisha birthday boy, Harmonize

Video: Kitanda cha Wolper chapambwa madola kumkaribisha birthday boy, Harmonize

Jumanne hii ni birthday ya mkali wa wimbo ‘Matatizo’, Harmonize ambapo mastaa mbalimbali pamoja na mashabiki wake katika mitandao ya kijamii wamem-wish kwa kumtakia heri na mafanikio katika maisha yake.

Kwa upande wa malkia wa filamu, Jacqueline Wolper ambaye ni mpenzi wa staa huyo, ameonyesha maandalizi ya kitanda chache kilichopambwa na madola pamoja na keki kwa ajili ya mpenzi wake huyo ambaye leo hii ametimiza miaka kadhaa.Pia hatua hii inaonyesha penzi lao kushamiri upendo ndani yake.

Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana Read More

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...