» » Kutana na Ania Lisewska.Binti Mwenye Mpango wa Kulala na Wanaume 100,000,Hadi Sasa Kashalala na Wanaume 284..!

Mwanamke mmoja raia wa Poland ameripotiwa kuweka nadhiri ya kusafiri katika kila mji duniani katika uchunguzi usio wa kawaida kulala na wanaume 100,000.

Ania Lisewska kutoka mjini Warsaw ameingia katika mpango huo usio wa kawaida kwenye mji aliozaliwa mwezi uliopita na mpaka sasa amefanikiwa kuongeza idadi hiyo kufikia 284, kwa mujibu wa gazeti la Huffington Post.

Lakini wakati rafiki yake wa kiume wa muda mrefu mwenye umri wa miaka 21 akimsamehe zaidi kuliko wote - hajamtosa pamoja na yote hayo - anaeleweka kwamba 'hajasisimuliwa' na wazo hilo.

Ania alisema kwamba rafiki yake huyo amelazimika 'kukubaliana na wazo hilo'.

Alilieleza gazeti la Austrian Times: "Nataka wanaume kutoka Poland, Europe na duniani kote. Ninapenda ngono, kufurahi na wanaume.

"Nchini Poland somo la ngono bado ni haramu na yeyote anayetaka kukidhi matakwa yao ya ngono huchukuliwa kama aliyepotoka, au mgonjwa wa akili."

Ania anasema kwamba atalenga tu kumaliza jukumu lake wakati wa siku za mwishoni mwa wiki na ameanzisha ukurasa wa Facebook na tovuti kusawiri mawazo ya wachimbaji kurasa wake ambao ni kidogo kuliko rafiki yake wa kiume anayevutiwa anaweza asipende kuwasevu kama watu wake muhimu.

Anaongeza kwamba anatarajia kutumia takribani dakika 20 na kila mpenzi mmoja.

Lakini taarifa za tamaa yake ya sasa ya kutaka makuu imeibua mashaka katika uhalalishwaji wake, huku ripoti kadhaa zikisema kwamba inaweza kuwa mzaha.

Kwa mujibu wa ripoti, kufanya ngono na watu wengi kiasi hicho kwa dakika 20 kwa wakati mmoja kunaweza kumchukua Ania miaka mitatu na miezi nane kumaliza kama hakutakuwa na mapumziko kwa ajili ya chakula au kulala.

Akionekana kanakwamba anapanga kuchukua nafasi ya siku za Jumamosi na Jumapili, jukumu hilo litamchukua miaka 20 mfululizo.

Ikichukuliwa anaishi hadi umri wa miaka 81, kufikisha 100,000 Ania atakuwa na hadi kiasi takribani wanaume 16 katika siku zote za mwishoni mwa wiki.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...