BREAKING NEWZZZZ....
WAIMBAJI TOKA KUNDI LA THE VOICE NA VOCAPELLA KUIMBA NYIMBO ZA PAMOJA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZOTE ZIIMBE..
Mapema jioni ya leo kwenye mahojiano na waandaaji wa Tamasha la SAUTI ZOTE ZIIMBE, Mr Emmanuel na Barret Mapunda @barrety20may wamesema hii itakuwa historia ya namna yake kwani haijawahi tokea vikundi hivi viwili kusimama na kuimba nyimbo za pamoja. Baadhi ya wapenzi wa vikundi hivi wamesema vina beef lakini kukanusha hali hiyo na kujenga ushirikiano wa karibu wataimba nyimbo takribani 4.
Wahi kupata tiketi yako mapemaa mtafte Barret +255718354354
BREAKING NEWZZZZ.... WAIMBAJI TOKA KUNDI LA THE VOICE NA VOCAPELLA KUIMBA NYIMBO ZA PAMOJA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZOTE ZIIMBE..
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment