» » BREAKING NEWZZZZ.... WAIMBAJI TOKA KUNDI LA THE VOICE NA VOCAPELLA KUIMBA NYIMBO ZA PAMOJA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZOTE ZIIMBE..

BREAKING NEWZZZZ....
WAIMBAJI TOKA KUNDI LA THE VOICE NA VOCAPELLA KUIMBA NYIMBO ZA PAMOJA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZOTE ZIIMBE..
Mapema jioni ya leo kwenye mahojiano na waandaaji wa Tamasha la SAUTI ZOTE ZIIMBE, Mr Emmanuel na Barret Mapunda @barrety20may  wamesema hii itakuwa historia ya namna yake kwani haijawahi tokea vikundi hivi viwili kusimama na kuimba nyimbo za pamoja. Baadhi ya wapenzi wa vikundi hivi wamesema vina beef lakini kukanusha hali hiyo na kujenga ushirikiano wa karibu wataimba nyimbo takribani 4.
Wahi kupata tiketi yako mapemaa mtafte Barret +255718354354

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...