» »Unlabelled » USHINDI HATIMAE, HIZI NI BAADHITU YA PICHA ZA UZINDUZI WA USHINDI HATIMAE ULIOFANYIKA TAREHE 0 8/10/2016


Hizi ndio baadhi ya picha kati ya nyingingi nilizo piga kwenye tukio kubwa la kihistoria la uzinduzi wa mahubiri yatakayo rushwa kati ya mwezi wa pili na watatu yaliyo pewa jina la Ushindi hatimae omba juu ya hili tukio kubwa tunalo lisubilia kwa hamu kubwa hasa sisi wakazi wa Mwanza ambao wokovu umekuja kwetu


hapa nikiwa na Mtangazaji wa Redio ya Morning star FM na Morning star TV Ndugu Emanuel Maduhu.



waimbaji wakifanya yao kiujumla mambo yalikuwa mazuri huwezi amini kinacho andaliwa nikikubwa sana hivyo natumia frusa hii kukusihi uwepo katika mahubiri hayo


kwaya ya Igelegele wazee wa mipingo walifanya vizuri sana
kwaya ya Butimba  kutoka Butimba Mwanza






Kwaya ya Bugando kutoka kanisa la Bugando


uzinduzi ulianza moja kwa moja ukihusisha uwashaji wa mishumaa mizuri iliyo leta kitu cha tofauti kabisa




Mr Ezira Lameck Masensera Mwalimu wa kwaya ya Ilemela Mwanza mtaa wa pasiansi


kwenye mitambo ya kurushia matangazo ya picha za kuonekana
Maofisa wa kanisa walio hudhulia na kuleta michango yao ili kufanikisha michango ya uwezeshaji wa shuguli hii kubwa



hapa ni ndani ya kanisa la wasabato ( Adventist church) Mabatini
wote mnakaribishwa sana


Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles