HEBU TUPITIE KIDOGO BAADHI YA HEKIMA ZA KI BIBLIA
~~MITHALI 22:6
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.
~~WAEFESO 6:4
Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana
~~MITHALI 22:15
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
~~MITHALI 13:24
Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.
~~MITHALI 19:18
Mrudi mwanao, kwa maana liko tumaini; Wala usiikaze nafsi yako kwa kuangamia kwake.
~~MITHALI 23:13
Usimnyime mtoto mapigo; kwa maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
Chapeni watoto walimu,,,Mungu anawaona,atawatetea.

No comments:
Post a Comment