» »Unlabelled » Waziri KAIRUKI asema nikosa la jinai kwa mtumishi wa umma kuwa na nyaraka za siri

Waziri KAIRUKI asema nikosa la jinai kwa mtumishi wa umma kuwa na nyaraka za siri
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ANGELLA KAIRUKI amesema kuwa ni kosa la jinai kwa mfanyakazi yeyote
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ANGELLA KAIRUKI
Waziri wa  nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ANGELLA KAIRUKI amesema kuwa ni kosa la jinai kwa mfanyakazi yeyote wa utumishi wa umma kuwa na nyaraka za siri za serikali.
Waziri KAIRUKI ameyasema hayo Jijini DSM wakati wa uzinduzi wa baraza la wafanyakazi la Tume ya Utumishi wa Umma na kuongeza kuwa ni aibu kwa serikali na Wafanyakazi wa utumishi wa umma kutotunza siri na kuacha siri za serikali zikizagaa.

September 3, 2016
ELIAH GUMBO
CHANZO TBC TAIFA

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles