» »Unlabelled » Vitendo vya kibaguzi vyakemewa Marekani

Vitendo vya kibaguzi vyakemewa Marekani


Mshirikishe mwenzako
Afisa mwandamizi wa Umoja wa MataifaImage copyrightEPA
Image captionZeid Ra'ad al-Hussein
Ofisa mwandamizi wa Umoja wa mataifa ameonya juu ya kuendelea kuyapa umaarufu mataifa ya magharibi yanayounga mkono itikadi ya mrengo wa kulia kwamba hali hiyo inaweza kuleta machafuko.Tume ya juu ya umoja wa mataifa ya haki za binadamu imemkemea Donald Trump, na kuishitaki Republican kwa kuendeleza vitendo vya kibaguzi dhidi ya binadamu na chuki za kidini.
Akizungumza mbele ya baraza la ulinzi huko Netherland, Zeid Ra'ad al-Hussein amesema kuwa kiongozi wa mlango wa kulia Geert Wilders amekuwa mmoja viongozi wazalendo wafitini wanaotumia ubaguzi wa rangi kama silaha ya kisiasa.
Pia, alisema Nigel Farage nchini Uingereza na Marine le Pen wa Ufaransa unafanana na wapiganaji wa islamic state ambao wamejenga uoga kama mbinu ya kuhamasisha chuki na vurugu.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles