» »Unlabelled » UN yataka vyombo vya habari kulindwa Somalia

UN yataka vyombo vya habari kulindwa Somalia

Mshirikishe mwenzako

Waandishi wa Somalia wakiandamana kufungwa kwa mwenzao
Image captionWaandishi wa Somalia wakiandamana kufungwa kwa mwenzao

Umoja wa Mataifa unasema lazima zifanywe juhudi zaidi za kulinda uhuru wa vyombo vya habari nchini Somalia, ambako waandishi wa habari 30 wameuwawa katika miaka mine iliyopita.
Shirika la kutetea haki za kibinaadamu la Umoja wa Mataifa, linasema katika ripoti yake, kwamba tangu mwaka wa 2014, waandishi wa habari mia 120 wengine wamekamatwa kiholela.
Vyombo vya habari kadhaa vimefungwa.
Ripoti hiyo imetaka haki ya kujieleza iheshimiwe, kabla ya uteuzi wa bunge jipya baadae mwezi huu.
Inasema wabunge 18 wameuawa tangu 2012, na wanaharakati kadha wa kisiasa wamefungwa.
Waandishi wa wanasiasa wamekuwa wakiuawa na wapiganaji wa kundi la al Shabab pamoja na wapinzani ambao wanapinga kazi yao.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles