» »Unlabelled » Ufaransa na katazo la vazi la Burkini,katika pwani zake

Ufaransa na katazo la vazi la Burkini,katika pwani zake

Mshirikishe mwenzako
burkiniImage copyrightEPA
Image captionMwanamke na vazi la Burkini pwani
Mahakama moja nchini Ufaransa iliyoko pwani ya mji wa Corsica, imesita kutoa amri ya katazo kwa wanawake wavaa vazi la burkini,vazi hilo ambalo mwanamke avaapo huanzia kichwani na kustiri mwili wote, na hupendwa mno na wanawake wa Kiislam.
Mwezi uliopita, mahakama ya juu nchini Ufaransa ilitoa uamuzi wa kupiga marufuku uvaaji wa burkini katika pwani zake kuwa ni kinyume na katiba na ukiukwaji uhuru wa umma .
Kufuatia katazo hilo Meya mmoja alitoa mari ya kusitisha na kupekuliwa kwa wanawake watakaokuwa wamevaa burkini baada ya mvutano wa waliokuwa wamevaa vazi hilo pwani wakati wa mapumziko .

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles