» »Unlabelled » Beyonce ashauriwa kupumzisha sauti yake

Beyonce ashauriwa kupumzisha sauti yake


Mshirikishe mwenzako
Beyonce ashauriwa kupumzisha sauti yakeImage copyrightV
Image captionBeyonce ashauriwa kupumzisha sauti yake
Mwanamuziki Beyonce ameahirisha tamasha lake la New Jersey kwa jina World Tour baada ya madaktari kumshauri kupumzisha sauti yake.
Msanii huyo ambaye alisheherekea siku yake ya 35 ya kuzaliwa siku ya Jumapili alitoa taarifa akisema tamasha hilo halitafanyika mnamo tarehe 7 mwezi Octoba.
Hatahivyo ataendelea na tamasha nyengine katika miji ya Los Angeles,Houston,New Orleans na Atlanta kama ilivyopangwa.
Ziara hiyo ambayo inalenga kuuza albamu yake mpya Lemonade,ilianza mjini Miami mnamo tarehe 27 mwezi Aprili.
Ilitarajiwa kukamilika Nashvile mnamo tarehe 2 mwezi Octoba,lakini sasa inaonekana kwamba New Jersey itaanda tamasha lake la mwisho

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles