» »Unlabelled » John Kerry akwama kwenye foleni Delhi, India

John Kerry akwama kwenye foleni Delhi, India


Mshirikishe mwenzako
Wageni mashuhuri wanapozuru mji wa Delhi, hutarajia kupata barabara zikiwa wazi namna hii.
Indian Prime Minister Manmohan Singh's official motorcade arrives to attend the Beating the Retreat ceremony in New Delhi on January 29, 2011.Image copyrightGETTY IMAGES
Lakini kwa raia wa kawaida, barabara huwa hivi...
Travellers face traffic congestion on NH-24 as Kanwadias (Dak Kawad) carry holy water for Lord Shiva collected form the River Ganga, on August 1, 2016 in New Delhi, India. (PImage copyrightGETTY IMAGES
... na hali huwa mbaya zaidi wakati wa mvua ya upepo wa msimu.
Magari yakwama kwenye foleni barabara kuu ya Delhi-Gurgaon Julai 28, 2016 mjini Gurgaon, India.Image copyrightGETTY IMAGES
Lakini Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry alipofika Delhi kwa mashauriano na maafisa wa serikali Jumatatu jioni, hakuwa na bahati.
Mvua kubwa ilinyesha na 'kukosa kutambua cheo chake'.
Badala ya magari yake kupitia barabara zilizo wazi, msafara wake wa magari ulikwama kwenye foleni zaidi ya saa moja.
Lilikuwa jambo lisilo la kawaida kwa sababu maafisa wa usalama huondoa magari barabarani kutengeneza njia ya kutumiwa na wageni mashuhuri.
NewsXImage copyrightNEWSX
Watu kwenye mitandao ya kijamii walianza kufanyia mzaha masaibu hayo ya Bw Kerry. Baadhi, kama Karthik hapa alipendekeza Bw Kerry afanye wafanyavyo wenyeji mvua ikinyesha.
John KerryImage copyrightKARTHIK
Helikopta http://goo.gl/QLG66eImage copyrightRAJESH MAHAPATRA
Image captionBw Mahapatra alipendekeza serikali serikali inunue helikopta za kuwasafirisha wageni mashuhuri

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...