» »Unlabelled » Israel kudhibiti mipaka yake,ardhini.

Israel kudhibiti mipaka yake,ardhini.

Mshirikishe mwenzako
Syria
Image captionSyria kudhibiti mipaka yake
Israel imeanza kujenga kizuizi cha chini ya ardhi ambacho kitanyoosha mipaka yake yote na Gaza. Maofisa wa Israel wamesema kuwa kizuizi hicho kinalenga kuzuia vikosi vya kipalestina kuchimba mashimo ambayo huwasaidia kutekeleza mashambulizi Israel, kama ilivyokuwa hapo nyuma.
Tayari Gaza imezungukwa na ukuta wa ngome na minara, nyaya na kamera ili kuthibiti ulinzi zaidi. Ambapo ujenzi wake unatazamiwa kukamilika baada ya mwaka mmoja.
wakati huo huo
Zaidi ya mashirika 70 ya kibinadamu ya nchini Syria yanawatuhumu mawakala wa misaada wa Umoja wa Mataifa kwa kuruhusiwa kijanja kutumiwa na serikali ya Rais Bashar al-Assad. Mashirika ya kisyria yametoa mfano mmoja kuwa kushindwa kwa Umoja wa Mataifa kumaliza kuzingirwa kwa maeneo ambayo uasi umefanyika.
Makundi hayo yanataka uchunguzi ufanyike kuhusu ushawishi wa serikali juu ya Damascus kulingana na mtandao wa kibinadamu wa Umoja wa mataifa. Ambapo wanasema mpaka sasa na madai mengine yakutaka kukomesha ubadilishanaji wa taarifa kwa mawakala wake.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles