» »Unlabelled » HAYA NDIO MAKAMBI YA MWISHO KWA JIJI LA DAR Karibu

Karibun kwenye makambi mtaa wa kinondoni kuanzia Tarehe 11-17 mwezi wa tisa.

Wanenaji watakuwa mwenyekiti wa Union ya Kasikazini mwa Tanzania  Mch.  Dkt.  Godwin Lekundayo,

Mwenyekiti wa Union ya kusini mwa Tanzania  Mch. Mark Walwa Malekana.

Mwenyekiti wa konferensi ya Mashariki na kati mwa Tanzania Mch. Joseph Mgwabi.

Karibuni sana watu wa dar na mikoani ndo makambi ya mwisho kwa Dar es salaam

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles