Rais Magufuli aahidi kumnunulia mlemavu baskeli
- 17 Agosti 2016
Katika taarifa iliyosomwa wakati wa matangazo ya habari, Rais Magufuli alisema kuwa atatumia pesa kutoka kwa mshahara wake mwenyewe kununua baiskeli hiyo na kumkabidhi mwanamme huyo baada ya juma moja.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:
Post a Comment