» »Unlabelled » Facebook yawapatia wateja fursa ya kutoa tahadhari

Facebook yawapatia wateja fursa ya kutoa tahadhari


Mshirikishe mwenzako

Huduma ya usalama facebookImage copyrightGETTY IMAGES
Image captionHuduma ya usalama facebook

Mtandao wa facebook umewapatia fursa wateja wake kutoa ishara ya tahadhari ya kiusalama iwapo watajipata katika hali hatari.
Kufikia sasa huduma hiyo ilikuwa inaweza kutolewa na wafanyikazi wa kampuni hiyo pekee.
Huduma hiyo ya usalama inawapatia watumiaji wa mtandao huo fursa ya kutoa ujumbe kwa marafiki ama familia zao kwamba wako salama kunapotokea janga la kibinaadamu mahala walipo.
Tetemeko la ardhi la hivi majuzi nchini Itali liliadhimisha mara 25 mwaka huu kwamba lilisababishwa.
Ujumbe huo wa usalama umewafikia watu bilioni moja mwaka 2016 pekee,kampuni hiyo imesema.
Katika kipindi cha miaka 2 iliopita kwa pamoja huduma hiyo ikutumika mara 11 pekee.
Timu ya facebook inayotoa huduma hiyo hutumia vigezo vitatu kubaini kuamua iwapo huduma hiyo inapaswa kutolewa:
  • Idadi ya watu walioathirika
  • Athari ya janga hilo
  • Na wakati wa tukio

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...