Nashukuru nimerudi home,wife kanipokea huku analia,majirani wananishangaa,namuuliza wife unalia nn!ananijibu mume mbona umechakaa hivyo!na mwambia kule nilikuwa jela Guetanamol,mchepuko yule alikuwa hariziki Kila ninachompa,alikuwa muongo,nje alikuwa mpole,mtu wa dini,ushungi Kila saa,ila akiingia ndani anakuwa nyoka,mpaka nikawa namfananisha na kinda wa daladala,ukiwa kwenye kituo unathamani,ukiingia kwenye gari we ni boya,alikuwa ni chui aliyejivisha ngozi ya kondoo,mke wangu ananiuliza ulikuwa unan'gan'gania nn!namjibu ilikuwa sio akili zangu,mke wangu ananimbia kwakunifariji pole mume wangu,namjibu ahsante,mke wangu ananiambia ngoja nikubandikie maji ukaoge mume wangu.
Najikuta Niko kimya nikiwaza nakujiuliza!!!mbona mke wangu ni mzuri,mstaarabu na ananidhamu!kule nilikuwa nan'gan'gania nn !wakati alikuwa hapendwi mtu,inapendwa pochi,nilikuwa sisikii la mnadi swala,Wala kengele.
Mchepuko sio dili.
Tubaki njia kuu.
Tujali familia zetu,Sasa hivi Kuna maradhi,tusipoangalia tutawaacha watoto wetu Bado wadogo.
Ujumbe huu ufikie wakora wote Kama WEWE
Najikuta Niko kimya nikiwaza nakujiuliza!!!mbona mke wangu ni mzuri,mstaarabu na ananidhamu!kule nilikuwa nan'gan'gania nn !wakati alikuwa hapendwi mtu,inapendwa pochi,nilikuwa sisikii la mnadi swala,Wala kengele.
Mchepuko sio dili.
Tubaki njia kuu.
Tujali familia zetu,Sasa hivi Kuna maradhi,tusipoangalia tutawaacha watoto wetu Bado wadogo.
Ujumbe huu ufikie wakora wote Kama WEWE
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment