» » Shughuli za uokoaji zaendelea Houston, Marekani

Marekani

Image captionHouston inavyoonesha madhara ya dhoruba Harvey
Mshauri wa masuala ya usalama wa Rais Trump, Tom Bossert, amesema kwamba shughuli za uokozi bado zinaendelea Houston, baada ya dhoruba ya kitropiki ya kimbunga Harvey.
Rais Donald Trump amekwisha changia kiai cha dola milioni moja kutoka katika mapato yake binafsi katika kusaidia mfuko wa maafa. Lakini pia amekwisha kuutembelea mji wa Rockport, ulioko Texas, Naye makamu wa raisi Mike Pence, amewaambia wakaazi wa maeneo hayo kwamba utawala wa serikali uko pamoja nao wakati wote.
Nje ya mji wa Houston moto ulikuwa ukiendelea kuwaka ndani ya mafuriko kwenye kiwanda kimoja cha kemikali.
Shirika la Ulinzi wa Mazingira la Marekani limehakikisha kwamba hakuna kemikali za sumu katika moshi unaoenea.
Mpaka sasa watu thelathini wamepoteza maisha tangu kimbunga Harvey kilichotokea pwani kama kimbunga kikali.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn news

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...