» » PCHA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA AMIRI JESHI MKUU DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AKIWATUNUKU KAMISHENI MAAFISA 422 WA JESHI LA WANANCHI (JWTZ)MKOANI ARUSHA SEPTEMBA 23,2017.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akikagua paredi ya maafisa wapya kundi la 61/16 kabla ya kuwatunuku kamisheni kuwa maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba,23 ,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia  wananchi wa mkoa wa Arusha baada ya kuwatunuku kamisheni maafisa 422 wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba,23 ,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akipiga ngoma mara baada ya kuwatunuku kamisheni maafisa 422  wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba,23 ,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji mkuu mstaafu Agustino Ramadhani wakati wa sherehe ya kuwatunuku kamisheni maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Ukumbi wa AICC Arusha Septemba,23 ,2017.
Maafisa wapya kundi la 61/1 wakivaa vyeo vipya mara baada ya kutunukiwa kamisheni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani na Amiri jeshi mkuu Dkt.John Pombe Magufuli kuwa maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba 23,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja waambata wa kijeshi kutoka nchi mbalimbali za Afrika mara baada ya  kuwatunuku kamisheni  maafisa 422 wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba,23 ,2017.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn news

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles