Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akikagua paredi ya maafisa wapya kundi la 61/16 kabla ya kuwatunuku kamisheni kuwa maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba,23 ,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa mkoa wa Arusha baada ya kuwatunuku kamisheni maafisa 422 wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba,23 ,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akipiga ngoma mara baada ya kuwatunuku kamisheni maafisa 422 wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba,23 ,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji mkuu mstaafu Agustino Ramadhani wakati wa sherehe ya kuwatunuku kamisheni maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Ukumbi wa AICC Arusha Septemba,23 ,2017.
Maafisa wapya kundi la 61/1 wakivaa vyeo vipya mara baada ya kutunukiwa kamisheni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani na Amiri jeshi mkuu Dkt.John Pombe Magufuli kuwa maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba 23,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja waambata wa kijeshi kutoka nchi mbalimbali za Afrika mara baada ya kuwatunuku kamisheni maafisa 422 wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa shekhe Amri Abeid Arusha Septemba,23 ,2017.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:
Post a Comment