Anahitajika Kijana wa Kiume/Kike mwenye uwezo wa kufanya yafuatayo:-
Video Shooting
Video Editing
Photo Shooting
Graphics Designing
Sifa;
Awe na uwezo wa kutumia Program zifuatazo
1. ADOBE PHOTOSHOP
2. ADOBE ILLUSTRATOR
3. ADOBE LIGHTROOM
4. ADOBE PREMERE
5. ADOBE AFTER EFFECT
6. Asije kujifunza, ila aje kufanya kazi.
7. Awe Mbunifu
8. Asisukumwe kufanya kazi
9. Aje na kazi zisizopungua 5 alizozifanya.
10. Awe makini na muda.
11. Awe tayari kwenda mahala popote atakapohitajika kuwepo na ofisi.
12. Mwenye lugha nzuri ya kibiashara kwa wateja.
13. Awe na uwezo mzuri wa kutumia digital Cameras kama Canon Mark III 5D, Nikon 7100D, Sony A7rII N.k
14. Kupenda na kukubali kukosolewa.
Baada ya maombi, ataitwa kwenye interview itakayohusisha sifa zote hapo juu. MWISHO TAREHE WA MAOMBI NI 15/09/2017
Maombi yatumwe kwa Whatsapp no +255758487173
Au email: *magilazmediatz@gmail.com
Tafadhali, usipige simu, tuma sms ya maombi kwa whatsapp na utapigiwa kujibiwa.
Share na nduguzo ili waione fursa hii.
No comments:
Post a Comment