» » Marekani imemuekea Rais Maduro vikwazo

Nicolas Maduro

Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMarekani imezuia mali za rais Nicolas Maduro anazomiliki Marekani
Marekani imeidhinisha vikwazo dhidi ya rais wa Venezuela, Nicolas Maduro.
Muda mfupi baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi uliokumbwa na mzozo Venezuela, Wizara ya mambo ya nje ya Marekani ilitoa taarifa kutishia kumchukulia kiongozi wa taifa hilo hatua nzito na za haraka.
Imezuia mali zote anazomiliki Maduro Marekani na waziri wa fedha Marekani, Steven Mnuchin amemtaja Maduro kuwa dikteta.
"Uchaguzi wa jana wa haramu unathibitisha Maduro ni dikteta asiyezingatia matakwa ya raia wa Venezuela", alisema katika taarifa yake.
Hii sio mara ya kwanza hatua zimechukuliwa dhidi ya viongozi wa serikali , huku viongozi wakuu 13 wa utawala wa Maduro wakilengwa kwa vikwazo kama hivyo wiki iliopita.
Mtihani mkubwa hatahivyo utajiri iwapo Washington itaamua kuidhinisha vikwazo vya nishati dhidi ya tifa hilo mzalishaji mafuta.
Wengi wanahofia hatua ya aina hiyo itaathiri vibaya uchumi, na hivyo kuwaathiri raia maskini katika taifa hilo kuliko walio katika utawala.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn news

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...