» » Eneo la Maonyesho ya nanenane Dodoma sasa kujengwa viwanda

Eneo la maonyesho ya nanenane lililopo Nzuguni nje kidogo ya mjini wa Dodoma litamegwa kwa ajili ya kuanzisha viwanda.

Uamuzi huo umetangazwa leo Jumanne na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jodarn Rugimbana wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini hapa.

"Tutagawa eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 400 kwa ajili ya viwanda na litakalobakia litatengenezwa uwe uwanja wa kimataifa,"amesema.

Amesema katika maonyesho yaliyomalizika wiki iliyopita ambayo yamesimamiwa na mkoa baada ya kuondolewa kwenye usimamizi wa Chama cha wakulima (Taso) wamefanikiwa kukusanya Sh 226 milioni.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn news

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles