» » WILAYA SINGIDA VIJIJINI JANA TAREHE19/7/2017 CCM YAFANYA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU Y WILAYA

Katika kikao hicho, katibu wa CCM wilaya Bi GRACE SHINDIKA alitoa maangalizo ktk uchaguzi kuwa wanachama wawe makini n Rushwa katika kuchagua viongozi w atakaoendana n kasi ya HAPA KAZI TU.Pia aliendelea kuwaeleza wagombea n wanachama k ujumla kujinasua ktk Makundi ambayo mwisho w siku yatapelekea magawanyiko ndani y chama.
Bi G Shindika aliendelea kutoa maelekezo kuwa hakuna  Mgombea/kongozi anaeruhusiwa kuanza kampeni kabla y muda pamoja n hilo hairuhusiwi kufanya ziara k viongozi  waliochukua fomu kwn baadhi hutumia njia hiyo kufanya kampeni.
Mwisho
Aliwasihi wasimamizi wa uchaguzi kata mara majina yatakaporudi, waanze uchaguzi mapema kabla y saa tano asb ili kumaliza mapema uchaguzi lkn pia mshindi lzm awe amepata nusu ya idadi kura.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...