» » Sehemu ulipo inaweza kuchangia mafanikio yako -au kushindwa kwako

Sehemu  ulipo inaweza  kuchangia  mafanikio  yako -au kushindwa kwako -Location Matters.

Kutambua  hali ya mahali ulipo ni  nzuri na ya hatua  ya 1 ya mafanikio  kwa  mtu  kwenye  ufahamu  
moja
Lakini  kukubali  ulipo  tuu simple so bila  kujua  pakoje  ni  hatari sana

Elewa  kuna maeneo  mawili  ambayo ni  muhimu  kuyafaham  (location )

Luzu  na Bethel
Luzu  ni  sehem  izaayo  mapooza  yaani  huwezi  kufanikiwa  ukikaa  hapo  ata  iweje ni  madhabau  ya kushindwa. Everything  you do you loose every plans bounce. And to achieve a little  bit succes you will need to use a lot of resources  ,energy? and time .

Bethel ni sehem nzuri  ya mafanikio  everything  you do will be successful, within ad short time you can achieve  a lot ,everything  you thinks when you are at Bethel  will always be positive !
Bethel ni kama madhabau  ya ushindi  ,always progressive no point of returning but there  is always  an open to door to prosper .and always impossible  to see opportunity.

Refer Genesis 35 and 2King 2

Bethel  and Zulu  can stand as an Alta, foundation, location, a type of work ,activities, and even type of your sorrounding relative or friends.

Tambua yusufu  alikaa  Luzu  miaka  mingi  akaishia  kesi  na misukosuko  mingi  na kupoteza  Munda  mkubwa bila  kuwa  na dira yeyote. Despite of a lot of efforts nothing happened  till when came across Bethel everything becomes positively,promotions  positively, thought/minds  becomes positively and was able to see opportunities and work our his vision without failures .

Karibu  kwa  ushauri wa  kiroho,business etc Elewa  na pata ufahamu  kwamba  mambo  ya rohoni  yanatawala  mambo  ya mwilini  yanayoonekana  na mambo  na vitu vinavyoonekana  vilitokana na vile  visivyoonekana yaani  rohoni -Hii ni siri  kubwa  wengi  hawajui.

Ibrahim the father of faith  moved from various locations  before his remarkable  success and it was a result of understanding  between LUZU  and Bethel

What do this lesson of today means for you and me .

👉reassess what you are  doing compare  to what you want to achieve then find out if there is deficit or positive  balance then take appropriate action without further delay

Where you are,what you are doing ,what you are thinking, friends you associate ,what you are planing  now and the location  you are right now may contribute  you failure or your success  big time or failure  big time .
NOTE
Discipline  is ability to say no foe negative  things and say yes for positive things .

You need to gain power and certain amount of ability to let things goes forward .

I bless your day in Jesus  Name

John 1:12

*Sir Lukumay*
_williamlukumay@yahoo.com_

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...