» » Hatma ya wanariadha wa kike wenye homoni nyingi za kiume kujulikana

Mwanariadha wa mita 800 kutoka Afrika Kusini Caster Semenya

Image captionMwanariadha wa mita 800 kutoka Afrika Kusini Caster Semenya
Utafiti mpya unasema kuwa wanawake wanaozaliwa na viwango vya juu vya homini za kiume {Testosterone} wana uwezo mkubwa wa utendaji ikilinganishwa na wenzao katika mashindano.
Ripoti hiyo iliochapishwa katika jarida la matibabu katika michezo inatokana na sampuli 100 za damu zilizochukuliwa kutoka kwa wanariadha katika kipindi cha miaka miwili.
Imechapishwa wiki chache kabla ya mahakama ya usuluhishi kuhusu maswala ya michezo kutoa uamuzi wake wa mwisho kuhusu uamuzi wa shirikisho la wanariadha duniani I.A.A.F kuwapiga marufuku wanariadha wa kike walio na homoni nyingi za testosterone.
Marufuku hiyo ilioanzishwa 2011,ilisitishwa na mahakama hiyo miaka miwili iliopita.
Watafiti wake wanasema kuwa ushirikiano kati ya viwango vya juu vya homini za testosterone na utendaji bora haufai kuchukuliwa kama thibitisho.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS



tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...