» » China: Hatua ya meli ya Marekani kukaribia kisiwa ni uchokozi mbaya

The USS Stetham, in a photo from 2015, arrives at a port in Shanghai

Haki miliki ya pichaAFP
Image captionMeli USS Stetham
China imetaja hatua ya manowari ya Marekani kupita karibu na kisiwa kinachozozaniwa kusinia mwa bahari ya China kuwa uchokozi mbaya wa kisiasa na kijeshi.
Manowari ya USS Stethem ilipita karibu na kisiwa kinachozozaniwa cha Triton ambacho ni moja ya visiwa vinavyodaiwa na China na nchi zingine,
Uchina ilijibu kwa kutuma meli za kijeshi na ndege kuenda kisiwa hicho.
Kisa hicho kilitokea muda kabla ya viongozi wa nchi hizo mbili kufafanya mazungumzo ya simu.
Map
Image captionEneo la kusini mwa China
Marekani mara kw amara imeionya China dhidi ya hatua yake ya kunyakua visiwa katika maeneo yanayozozaniwea, lakini china inasema inafanya hivyo kuambatana na haki zake.
China inasema kuwa itafanya kila iwezalo kulinda usalama wake.
Pia imeilaumu Marekani kwa kuchochea vurugu eneo hilo kwa kuwa uhusiano kati ya China na majirani wake wa kusini mwa bahari ya China umeboreka.
Kisiwa hicho kidogo pia kinadaiwa na Vietnam na Taiwan. China imekuwa kwenye mzozo wa umiliki wa maeneo ya bahari na majirani zake kadha miaka ya hivi karibuni.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...