» » Rais Trump achukizwa na tuhuma za Comey

Comey

Image captionRais Trump na aliyekuwa mkurugenzi wa FBI,James Comey
Rais Trump pamoja na timu yake wamejibu vikali dhidi ya tuhuma zilizotolewa na aliyekuwa mkurugenzi wa FBI ,kuwa rais Trump alimtaka kuacha kumchunguza mshauri wa zamani wa masuala ya usalama na Urusi.
Hapo jana James Comey alihojiwa na Kamati ya Bunge la Seneti ya Usalama na kumtupia lawama Rais Trump kwa kuingilia uchuguzi unamhusu kujihusisha na Urusi.
Trump
Image captionWakili binafsi wa rais Trump,Marc Kaswitz
Wakili binafsi wa rais Trump,Marc Kaswitz amepinga vikali shutuma hizo zilizotolewa na Comey na kudai kuwa huo ni uzushi.
"Raisi hakuwahi kutoa maelekezo au mapendekezo kwa Comey kuacha kumchunguza wa mtu yeyote ".
Rais Trump pia alitoa mustakhabali wake juu ya suala hili;
"hakuna kitu chenye dhamani ambacho kinakuja kiurahisi,lakini tunajua jinsi ya kupambana vizuri zaidi mtu mwingine yeyote na hatutakata tamaa .Sisi ni washindi na tunaenda kupambana na kushinda na tutakuwa na mustakabali ambao hauelezeki kwa siku za mbeleni,na tutaenda kuwa pamoja
Comey katika ushaidi alioutoa alieleza namna ambavyo alijisikia vibaya mara baada ya rais Trump kumtaka kuachana na uchunguzi huo wa mshauri wa zamani wa masuala ya usalama na juu ya urusi.
Na anaona ndio sababu ilionekana haendani na majukumu ya shirika la kijasusi la FBI
Donald Trump and his team have reacted furiously to allegations by the former head of the FBI that the president ordered him to drop an inquiry into links between his disgraced National Security Adviser and



Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS



tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...