» » Matokeo ya Uchaguzi 2017 kwa kifupi: Maeneo muhimu kwa mtazamo

Matokeo hayo yakingaa juu ya Jumba la Habari - bbc

Image captionMatokeo yaliyobashiriwa ya baada ya upigaji kura kwenye Jumba la habari la BBC
Huku zaidi ya matokea 100 yakiwasilishwa, shirika la habari la BBC, imeelezea utabiri wake, kuhusiana na matokeo ya mwisho. Inatabiri viti 322 vitanyakuliwa na chama cha Conservatives, kiwango chini kwa viti 9 ikilinganishwa na 2015, viti 261 kwa Labour - juu kwa viti 29, viti 32 kwa chama cha SNP, hasara ya viti 24.
Chama cha Lib Dems vitaongezeka kwa viti vitano zaidi na kufikia viti 13, Plaid Cymru kikisalia na viti 3 tu. Greens kikiwa na kimoja tu, ilihali kile cha UKIP kikiwa bila na viti 18 kwa vyama hivyo vingine. Matokeo ya utafiti wa baada ya uchaguzi wa BBC, ITV na Sky yanaonesha hakuna chama kitakachopata wingi wa wabunge katika Bunge la Commons.
Inaashiria kuwa, chama cha Conservatives kitaimarika kwa kiasi fulani, kuliko ilivyotabiriwa kwenye matokeo yaliyobashiriwa ya baada ya upigaji kura, lakini kitamaliza chini kidogo nyuma ya washindi.
BBC yakuletea moja kwa moja matokeo ya uchaguzi mkuu UingerezaHaki miliki ya pichaPA
Image captionBBC yakuletea moja kwa moja matokeo ya uchaguzi mkuu Uingereza
Inaonekana kama chama cha Labour kinafanya vizuri ambapo zaidi ya asilimia 55% ya wapigaji kura walitaka kusalia ndani ya EU, huku kukiwa na asilimia 8% ya kura katika maeneo ya kushindaniwa kwa Labour katika maeneo hayo, anasema mtaalamu wa maswala ya kisiasa Profesa John Curtice. Kwa tofauti, kuna asilimia 1% ya kura ya kushindaniwa kwa chama cha Conservatives katika maeneo ambayo wanaotaka Uingereza kuondoka ndani ya muungano wa Eu (leave) walishinda kwa asilimia 60%.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...