Nchini Kenya tume ya uchaguzi imekutana na baadhi ya wagombea urais baada ya upinzani kuibua madai ya ukiukaji utoaji wa zabuni ya kuchapisha karatasi za kupiga kura iliyotolewa kwa kampuni moja ya Dubai. Sudi Mnette amezungumza na mchambuzi wa siasa wa Kenya Profesa Tom Namwamba anayesema ni kama wapinzani nchini humo hawako tayari kwa uchaguzi kwa kuwa kila wakati hutafuta lawama na sababu. Bonyeza hapa kusikiliza mahojiano.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:
Post a Comment