» » WHO kukabiliana na Ebola DRC

Huu ni mlipuko wa 8 uliotambuliwa wa Ebola nchini Congo, tangu kisa cha kwanza mwaka 1976

Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionHuu ni mlipuko wa 8 uliotambuliwa wa Ebola nchini Congo, tangu kisa cha kwanza mwaka 1976
Shirika la Afya Duniani, WHO limeahidi kuchukua hatua za tahadhari na haraka za haraka, ili kuzima mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola kaskazini mwa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Inasema kuwa wataalamu wake wa kiufundi, wametumwa hadi maeneo ya vijijini, kunako aminika kutokea visa 11 vya ugonjwa wa Ebola -- zikiwemo ripoti ya vifo vya watu watatu.
Wanafanya kila mbinu kubaini upana wa mlipuko wa ugonjwa huo, kuwapa tiba walioambukizwa na virusi vya ugonjwa huo, na kuwatambua walioambukizwa au watu waliokaribiana na walioambukizwa virusi hivyo.
Huu ni mlipuko wa 8 uliotambuliwa wa Ebola nchini Congo, tangu kisa cha kwanza kutambuliwa cha Ebola nchini humo mnamo mwaka wa 1976.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS



tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...