» » Waandamanaji zaidi wameuwawa Venezuela

Venezuela
Image captionBaadhi ya waandamanaji,Venezuela
Idadi ya vifo katika kipindi cha mwezi mmoja nchini Venezuela imeongezeka na kufikia zaidi ya watu 30, idadi hiyo imeongezeka baada ya waandamanaji kupambana tena na polisi wa kuzuia ghasia siku ya jumatano.
Kumekuwa na Ripoti kuwa watu wengi wamejeruhiwa, baadhi yao wamejeruhiwa na mabomu ya petroli yaliyokuwa yanarushwa na vijana waliofunika nyuso zao mjini Caracas waliokuwa wakiandamana kuelekea kwenye eneo la Bunge la kitaifa.
Venezuela
Image captionMapigano dhidi ya Polisi na waandamanaji
Huku Polisi walijibu mapigo hayo kwa kuwatawanya kwa mabomu ya kutoa machozi na risasi za mpira.
Hata hivyo Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro ameukosoa upinzani na kusema kuwa anapambana kuilinda nchi dhidi ya ugaidi na kuwaambia wanaomuunga mkono kuwa ni juu yao kuamua mustakabali wa Nchi
Maduro amesema raia wa Venezuela wanapaswa kuchagua njia iwe ya vita au amani, kama wanataka vizuizi barabarani au wanataka uwakilishi kwenye Bunge


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles