» » Temer apewa saa 24 kuijibu polisi tuhuma za rushwa zinazomkabili


Image captionTemer aliingia madarakani mwaka 2016

Mahakama kuu nchini Brazil imetoa saa 24 kwa Rais wa nchi hiyo Michel Temer kuijibu polisi juu ya maswali muhimu yahusuyo yeye kuhusika katika rushwa ,jambo linalotishia maisha yake ya siasa.

Tuhuma hizo zinahusisha kampuni kubwa ya usindikaji nyama ,JBS, kuwa Temer alipokea kiasi kikubwa cha fedha kama rushwa.

Temer amepinga tuhuma hizo na kusema kuwa hatojiuzulu.

Tiyari baadhi ya vyama vya siasa vimejiondoa katika muunganiko wa serikali ya Temer.



Maoni ushauri 0769436440

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...